
Kiswahili Bibilia Takatifu 2s2023
Word: Holy Scripture 6u6h35
App info 5d333i
ment
App description s1a4r
Android App Analysis and Review: Kiswahili Bibilia Takatifu, Developed by Biblica, Inc.. Listed in Books & reference Category. Current Version Is 2.2, Updated On 27/11/2024 . According to s reviews on Google Play: Kiswahili Bibilia Takatifu. Achieved Over 431 thousand Installs. Kiswahili Bibilia Takatifu Currently Has 381 Reviews, Average Rating 3.7 Stars
Soma Biblia Takatifu kwenye programu yetu ya Biblia isiyolipishwa. Haina matangazo na hutatozwa ada zozote.Ina vipengele vifuatavyo:
Toleo la Kiingereza la Biblica New International Version na inaweza kusomwa upande kwa upande au mstari kwa mstari.
Teua na uangazie vifungu unavyopenda, andika madokezo na utafute maneno kwenye programu.
Bofya na ushiriki vifungu vya Biblia na marafiki zako.
Inatumia maandishi yanayobadilika ukubwa ili kurahisisha kusoma biblia.
Tumia wengine programu hii ambao wangependa kusoma Biblia Takatifu.
Tathmini na maoni yako yatatusaidia kuendelea kuboresha programu hii kwa maslahi ya watumiaji.
Kwa maoni au maswali, wasiliana nasi kwa njia ya barua pepe kupitia [email protected]
Programu ya Biblia imetengenezwa na kuchapishwa na : Biblica
Je, Biblia ni nini?
Biblia ni rekodi ya kazi ya Mungu ulimwenguni, na kusudi lake kwa viumbe vyote. Biblia iliandikwa zaidi ya karne kumi na sita zilizopita kupitia waandishi zaidi ya arobaini. Ni mkusanyiko wa vitabu 66 vyenye mitindo tofauti, vyote vyenye vinazungumzia kusudi la Mungu kwetu.
Mkusanyiko huu wa vitabu tofauti una mitindo mbalimbali ya kifasihi. Ina masimulizi mengi kuhusu maisha ya watu wema na waovu, inasimulia vita na safari, maisha ya Yesu, na kuanzishwa kwa kanisa. Imeandikwa kupitia masimulizi na mazungumzo, methali na mafumbo, nyimbo na misemo, historia na unabii.
Kwa ujumla, masimulizi ya Biblia hayakuandikwa kama yalivyotokea. Badala yake, yalielezwa tena na tena kutoka kizazi kimoja hadi kingine hatimaye yakaandikwa. Licha ya hayo, mafundisho katika vitabu tofauti yanawiana. Kuna uwiano kwenye Biblia nzima licha ya matukio kutendeka nyakati tofauti.
Hivyo basi, Biblia ni nini? Pamoja na hayo yote, Biblia ni:
Mwongozo wa kuishi maisha kikamilifu. Inatuongoza katika safari ngumu ya maisha. Yaani, katika safari yetu kupitia bahari ya maisha, Biblia ni nanga.
Ina masimulizi mengi ya kuwavutia watoto na watu wazima. Unakumbuka Noah na safina? Koti la Yusufu lenye rangi za kupendeza? Danieli kwenye tundu la simba? Yona na samaki? Mafumbo ya Yesu? Simulizi hizi zinaangazia ushindi na kushindwa kwa watu wa kawaida.
Kimbilio wakati wa dhiki. Wanaoumia, wanaopitia mateso, waliomo gerezani, na wanaoomboleza wanadhihirisha jinsi kuelekea Biblia kuliwapa nguvu wakati wa shida.
Imejaa maarifa kutuhusu. Sisi sio roboti, bali ni viumbe wa Mungu anayetupenda na ana lengo na kusudi kwa ajili ya maisha yetu.
Mwongozo wa maisha ya kila siku. Inatupa mwelekeo, mwongozo na amri kuhusu mienendo yetu, na ina kanuni za kutusaidia katika ulimwengu ambapo mara nyingi uovu unakubalika.
We are currently offering version 2.2. This is our latest, most optimized version. It is suitable for many different devices. Free directly apk from the Google Play Store or other versions we're hosting. Moreover, you can without registration and no required.
We have more than 2000+ available devices for Samsung, Xiaomi, Huawei, Oppo, Vivo, Motorola, LG, Google, OnePlus, Sony, Tablet ... with so many options, it’s easy for you to choose games or software that fit your device.
It can come in handy if there are any country restrictions or any restrictions from the side of your device on the Google App Store.
What's New 4d631z
Bible audio added.
Lumo, Jesus Film and Bible Project videos added.
Lumo, Jesus Film and Bible Project videos added.